Ramani ya Python


Python

Miongozo

1

Somo la 1

Utangulizi wa Python

Lengo la Somo hili

Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kufanya mazungumuzo na compyuta kupitiya Python.
Pia utaelewa maana ya mambo yafuatayo:

  • Python Installation
  • Installing Python On Windows and MacOs
  • Pycharm Installation
  • Hello World!
  • Varibles
  • Data Types
  • Print statement
  • Comments
  • Lab 1
  • Python ni nini?

  • Python ni lugha ya programu inayokuwezesha kuzungumza na kompyuta na kuiambia ifanye kazi fulani.
  • Unaweza kutumia Python Kutengeneza programu kama website, Google, Instagram, Facebook, AI, na programu nyingi za Kompyuta.
  • Variable ni nini?

    Variable ni kama Box ambayo inahifadhi hela, ikiwa ndani ya box kuko dola 50 value ya hiyo box ni dola 50 --> Mfano (Box = $50)
    Njia Tofauti za kuadiaka Varibles mu Python!

  • Box = $50
  • Jina = "Timo"
  • Umri = 20
  • Namba_ya_Simu = 919-568-3255
  • Email = "variablex.com"
  • Msingi wa Python:

  • Variables : Variable hutumika kuhifadhi data kama nambari, maneno, au thamani nyingine yoyote.
  • Printing: Hii hutumika kuonyesha ujumbe au matokeo ya kompyuta kwenye skrini.
  • Data Types: Inahusisha mambo yote ambayo document hiyo itatumia na kuhitahitaji
  • Arithmetic Operations: tunaweza kufanya hesabu kama +, _, *, /, %, na Python
  • Conditions: Python Hutumia if, elif, na else kuandika masharti.
  • Loops: Loops huruhusu kurudia sehemu ya Code mara kadhaa.
  • Functions: Functions hutumika kwa kupanga block fulani ya code ili uwe rahisi kutumia tena.
  • ( Mfano: Kifungu, picha, vichwa vya habari, video, viunganishi etc... )

    Code

    Tumia Uliyojifunza


    2

    Somo ya 2

    Data Types

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kutengeneza Lists mbali-mbali kwa kutumia Python.
    Pia utaelewa maana ya mambo yafuatayo:

  • Lists

  • Tuple

  • Sets

  • Dictionarires

  • Type Casting

  • Implicit Type Conversion

  • Explicit Type Conversion

  • Lab 2

  • Lists

  • Lists: List ni Orodha ya vitu ambavyo vinaweza kubadilishwa (mutable) na unaweza kutiya vitu vya aina tofauti mu list yako.
  • Kwa mfano ikiwa uko na jenga Login page ya variableX.com utahitaji kutumiya Lists function ili uweze kuhifadhi majina na information ya kila mutu.

    Tuple

  • Tuple: Tuple ni kama Lists lakini hauwezi kubadilisha information yenye iko mu Tuple
  • Labda ugependa kuhifadhi information fulani yenye haupendi mutu yeyote habadilishe > wakati huo utatumiya Tuple.


    Mfano: < Tuple >

    Code


    Si kila mtu ambaye ni mpenzi wa kusoma. Ndiyo sababu nimetengeneza Labs!

    Video

    3

    Somo ya 3

    Operators

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utaweza kutumiya Hesabu ndani ya Python.
    Pia utaelewa maana ya mambo yafuatayo:

  • Arithmetic Operators

  • Assignment Operators

  • Comparison Operators

  • Bitwise Operators

  • Lab 3
  • Arithmetic Operators

  • Arithmetic Operators: Hutumiwa kwa kufanya mahesabu ya msingi
  • Code

    Si kila mtu ambaye ni mpenzi wa kusoma. Ndiyo sababu nimetengeneza Labs!


    Video

    Tumia Uliyojifunza


    4

    Somo ya 4

    User Interactions

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kutengeza user interfave kwa kutumia Python.
    Pia utaelewa maana ya mambo yafuatayo:

  • User Interface

  • Lab 4

  • User interactions:

    Pindi fulani unapotengeza programu ya Kompyuta utahitaji njia ambayo mtu mwengine anaweza kuandika value ndani ya Programu yako.
    Kwa mfano tuna project au mradi wa kujenga Game, hatuwezi tu kuwapa ma user game wacheza
    vipi ikiwa yule mtu atahitaji kutiya jina, email, password na mambo megine Itabidi tututengeneza namna wataweza kutiya hizo information.

    Ni hapo ndipo utahitaji kutumia "User interface".
    Function ya inasaaidiya sana.:

    Code

    Video

    Tumia Uliyojifunza


    Mfano wa Ninachokitafuta

    5

    Somo ya 5

    If-Else Statements, While, and For Loops

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kutengeneza ukurasa wako binafsi unaohusisha If-Else statemnet, While, and For Loops. Utajifunza haya yote kwa kutumia lugha ya Kompyuta Python.
    Yafuatayo ni mambo utakayojifunza:

  • if-Else Statement
  • While Loops
  • For Loops
  • Lab 5
  • Loops na If-Else Statement

    Code

    6

    Somo ya 6

    Picha

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kushugulika na makosa ya Programu Yako kwa kutumia lugha ya Kompyuta Python.
    Yafuatayo ni mambo utakayojifunza:

  • Try and Except Blocks

  • Else Clause and Finally Raise

  • Lab 6
  • Try na Except

    <> Try na Except: try na except katika Python hutumika kwa kushughulikia makosa (errors). inawezesha programu yako kuendelea kutumika hata kama kosa linatokea, badala ya kusimama ghafla.

    Code

    7

    Somo ya 7

    Functions

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kutengeneza Functions. Utajifunza haya yote kwa kutumia lugha ya Kompyuta Python.
    Yafuatayo ni mambo utakayojifunza:

  • Bult-in Functions

  • User-Defined Functions

  • Creating Functions

  • Using User-definded Functions

  • Lab 7
  • Creating a Function

  • def: hii inatengeneza funtion yetu
  • Jina: Tunahitaji kutegeneza jina ya function ili tuweze kuita function yetu kila wakati
  • function body: hii itakuwa code yetu yenye inapaswa kuwa ndani ya function
  • return statement: hii itakuwa value yetu ya function
  • Code

    8

    Somo ya 8

    Class Na Objects

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kutengeneza class na Object yako binafsi. Utajifunza haya yote kwa kutumia lugha ya Kompyuta Python. Yafuatayo ni mambo utakayojifunza:

  • Python Classes

  • Objects

  • Constructing Classes

  • Methods

  • Lab 8
  • kutengeneza Class na Object

  • class: hii inatengeneza calss
  • __init__: hii inasaidiya kuweka vitu vya msingi kwenye function yetu
  • Methods: Methods ni mambo tafauti ambazo funtion yetu inaweza kufanya
  • Code

    9

    Somo ya 9

    Request Library

    Lengo la Somo hili

    Baada ya somo hili utakuwa na uwezo wa kutengeneza Functions za website yako. Utajifunza haya yote kwa kutumia lugha ya Kompyuta Python. Yafuatayo ni mambo utakayojifunza:

  • HTTP Methods

  • HTTP Response Status Codes

  • Installing Requests

  • Sending HTTP Requests

  • Sending POST request
  • Deleting your Blog Post
  • Lab 9
  • Code

    10

    Jenga Website Na Python

    Jenga Website

    Tujenge Website

  • <Setting Enviornment>
  • <Windows & Mac Setup>
  • <Installing Curl>
  • <Installing Git >
  • <Installing Node.js>
  • <Installing Gatsby CLI>